Fri, 26 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa klabu ya TP Mazembe Jean Othos Baleke amejiunga na Al Ittihad ya Libya kwa mkopo wa mwaka mmoja.
Mshambuliaji wa klabu ya TP Mazembe Jean Othos Baleke amejiunga na Al Ittihad ya Libya kwa mkopo wa mwaka mmoja. Baleke amejiunga na Al Ittihad akitokea Simba SC ambao waliachana nae dirisha dogo lililopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: