Mon, 10 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Simba SC kumuongezea mkataba mlinzi wake wa kulia Shomari Kapombe, Simba SC pia imemuongezea mkataba tena mlinzi wa kushoto Mohamed Hussein ‘ Tshabalala’.
Tshabalala amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kukipiga Msimbazi.
Mkataba huo mpya utaisha Juni 2025.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: