Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji raia wa Gambia Pa Omar Jobe (25) kwa Mkataba wa miaka miwili.
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji raia wa Gambia Pa Omar Jobe (25) kwa Mkataba wa miaka miwili. Klabu ya mwisho Jobe kuitumikia ni Zheniz ya Kazakhstan.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: