Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Al Ahly kimewasili Tanzania Oktoba 18, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Simba SC utakaopigwa Oktoba 20 mwaka huu katika uwanja wa Benjamini Mkapa kwenye michuano ya African Football League.
Pia, Balozi wa Misri nchini Tanzania Sharif Ismail amezungumza na wanahabari baada ya timu hiyo kuwasili jijini Dar ikiwa imebeba vitu vyao mbalimbali kwenye mapipa na kubebwa na gari la mizigo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: