Baada ya jana Klabu ya Yanga kutangaza juu ya uzinduzi wa documentary inayoonyesha mafanikio waliyoyapata kwa msimu wa 2022/23, Afisa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amesema Documentary ni sawa na mkanda wa Harusi au CD ya Send Off.
Baada ya jana Klabu ya Yanga kutangaza juu ya uzinduzi wa documentary inayoonyesha mafanikio waliyoyapata kwa msimu wa 2022/23, Afisa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amesema Documentary ni sawa na mkanda wa Harusi au CD ya Send Off. Timu ya Yanga inatarajiwa kuzindua Documentary yake Agosti 7, Katika Ukumbi wa Dar Free itakayoelezea mafanikio yote ya msimu uliopita 2022/23.