Fri, 16 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja habari na mawasiliano Simba, Ahmed Ally atamba wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania uliomakizika kwa Simba kushinda bao 1-0 katika uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo Februari 15, 2024.
"Hatuchezi kwa ajili ya kumfurahisha kila mtu, Clatous Chama anapoamua jambo lake hakuna wa kumuzuia".
Tazama Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: