Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ameandika @ahmedally_
"Wiki moja tangu ligi imalizike na kumekua na ukimya wa taarifa kutoka Simba Sports Club kiasi cha kuzua hofu kidogo
Usahihi ni kwamba mipango na mikakati thabiti inaendelea na itakapokua tayari Wana Simba wote mtajulishwa
Jambo la kufurahisha ni kwamba mipango yote inatekelezwa kwa ustadi na ufanisi wa hali ya juu mnoo
Malengo tuliyojiwekea ya kuboresha timu yetu yamefikiwa kwa asilimia kubwa kwa maana ya kwamba mipango yetu kwenye soko la usajili iko vizuri sana
Niwaombe Wana Simba tutulie, la mgambo likilia tutafahamu kila kitu kuhusu timi yetu pendwa"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: