Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amesema mara baada ya Simba kuanza kufundishwa na kocha wao mpya Benchikha, mazoezi yake yanavutia.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ahmed ameweka ujumbe huo akionesha ana hamu ya kwenda kuangalia mazoezi ya Benchikha.
"Muda ufike tuu tuende mazoezini siku hizi raha kweli kuona mazoezini yetu. Raha unayoipata kuiona Simba ya Benchikha ni kama kupokea mshahara au kuvunja kikoba."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: