Wakati Simba ikitamba kujaza Mabasi mawili kwa ajili ya kusafirisha Mashabiki wao kwenda nchini Zambia kushuhudia mchezo wa hatua ya mtoano kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos.
Watani zao Yanga wao wanatamba kujaza Mabasi Sita kwa ajili ya kusafirisha Mashabiki wa kwenda nao nchini Rwanda kushuhudia mchezo wa hatua ya Mtoani kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Klabu ya Al Merrikh ya Sudan.
Sasa kutokana na tambo hizo, Afisa Habari wa Simba Ahmed Ally amepiga kijembe kwa watani akidai kuwa wao wamejaza mabasi sio Coaster.
Msikilize Ahmed kwenye Video hapa chini;