Fri, 10 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Idara ya Habari wa Simba, Ahmed Ally atema cheche baada ya timu yake kuiburuza Azam kwa mabao 3-0, mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Jana Mei 09, 2024.
Ahmed anasema anatamani wale wote waliocheza nao kama kuna nafasi warudiane huku akiitaja Al Ahly kama watakutana nao kwa sasa wataifunga nje ndani.
Tazama Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: