Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha klabu ya ASEC Mimosas kimeshawasili nchini Tanzania tayari kwa maandalizi ya Mchezo wao dhidi ya wenyeji Simba SC utakaofanyia katika Uwanja wa mkapa siku ya Jumamosi hii.
Kikosi cha klabu ya ASEC Mimosas kimeshawasili nchini Tanzania tayari kwa maandalizi ya Mchezo wao dhidi ya wenyeji Simba SC utakaofanyia katika Uwanja wa mkapa siku ya Jumamosi hii. Simba wanaikaribisha ASEC Mimosas katika mchezo wa kwanza wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: