Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha ASEC Mimosas kimefanya mazoezi ya kwanza katika uwanja wa Gymkhana jijini Dar Es Salaam kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi ya Simba Sc Jumamosi hii Novemba 25 katika dimba la Mkapa.
Kikosi cha ASEC Mimosas kimefanya mazoezi ya kwanza katika uwanja wa Gymkhana jijini Dar Es Salaam kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi ya Simba Sc Jumamosi hii Novemba 25 katika dimba la Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: