Mchezo wa nusu fainali ya pili ya mkondo wa kwanza wa Mombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Asec Mimosas ya Ivory Coast dhidi ya USM Alger ya Algeria umemalizika kwa sare ya bila kufungana.
USM Alger wakiwa ugenini wameondoka Ivory Coast wakiwa na faida ya kutokufungwa kuelekea mchezo wa marudiano wiki ijayo huko Algeria.
Full Time: ASEC 0 - 0 USM ALGER
11 (3) ... Shots ... (0) 03
65% .... Possession ..... 35%
485 .......Passes ....... 266
Imumbukwe kuwa, mshindi kati ya ASEC na USM atakutana na mshindi kati ya Yanga na Marumo Gallants ambapo mchezo wa leo Yanga imeibuka na ushindi wa bao 2-0 katika Dimba la Mkapa.
Mkondo wa pili(second leg)mechi zitachezwa Jumatano ijayo, tarehe 17 ya mwezi huu.
Timu zipi unazipa nafasi kubwa kuingia fainali?