Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mzunguko wa kwanza wa mechi za African Football League umekamilika jana Oktoba 22, 2023.
Matokeo hayo ya mechi za mkondo wa kwanza ni kama ifuatavyo;
Simba SC 2-2 Al Ahly
Petro Luanda 0-2 Mamelodi
Mazembe 1-0 Esperance
Enyimba FC 0-1 Wydad AC
Mechi za Mzunguko wa pili zinaanza kesho Oktoba 24 kwa mchezo wa Simba SC waliopo ugenini wakipambana na Al Ahli nchini Misri.
Nani ataungana na Mnyama kwenda Nusu Fainali?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: