Mamlaka za usalama nchini Misri katika Jiji la Cairo wameruhusu idadi ya mashabiki Elfu 30 tu ndio watakaoweza kuingia Uwanjani kushuhudia mchezo wa marudiano wa Robo fainali ya African Football League ambapo Al Ahly ataikaribisha Simba SC
Mamlaka za usalama nchini Misri katika Jiji la Cairo wameruhusu idadi ya mashabiki Elfu 30 tu ndio watakaoweza kuingia Uwanjani kushuhudia mchezo wa marudiano wa Robo fainali ya African Football League ambapo Al Ahly ataikaribisha Simba SC Mpaka sasa inaelezwa kuwa uongozi wa timu ya Al Ahly bado wanaendelea kuomba kwani wanataka mashabiki zao waruhusiwe kuingia wote waujaze Uwanja.