Wawakilishi Pekee wa Tanzania katika Michuano ya African Football League, Timu ya Simba inashuka dimbani muda mchache kutoka sasa kumenyana na vigogo wa bara la Afrika Klabu ya Al Ahly kutokea kule Cairo nchini Misri.
Mchezo huo wa ufunguzi wa Michuano Mikubwa kwa ngazi ya Vilabu Afrika unapigwa majira ya saa 12 Jioni.
Mchezo huo ni muhimu kwa kila Timu kwani kila Timu inahitaji ushindi ili kujitengenezea mazingira mazuri ya kufuzu katika mchezo wa Mkondo wa pili.
Tazama vikosi vya Timu zote mbili;
Simba SC:
Ally Salim
Kapombe
Zimbwe Jr
Che Malone
Inonga
Ngoma
Mzamiru
Chama
Kibu D
Saido
Miquissone