Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Fahamu chanzo cha kifo cha msanii maarufu wa Nigeria 'Mr. Ibu'

Fahamu Chanzo Cha Kifo Cha Msanii Maarufu Wa Nigeria 'Mr. Ibu'.png Fahamu chanzo cha kifo cha msanii maarufu wa Nigeria 'Mr. Ibu'

Sun, 3 Mar 2024 Chanzo: Bbc

Ujumbe wa Hamas umeripotiwa kuwasili mjini Cairo, Misri, na kuongeza matumaini ya kusitishwa kwa mapigano katika vita vya Israel na Gaza.

Afisa mmoja wa Marekani ambaye jina lake halikutajwa amesema Israel "kwa kiasi fulani" mpango huo.

Marekani inasema mapumziko hayo ya wiki sita yatashuhudia kuachiliwa kwa mateka zaidi wa Israel na wafungwa wa Kipalestina.

Shinikizo la makubaliano hayo liliongezeka baada ya tukio la Alhamisi nje ya Mji wa Gaza kaskazini mwa eneo hilo ambapo takribani watu 112 waliuawa wakati umati wa watu ulipokuwa ukikimbilia msafara wa misaada.

Hamas imeishutumu Israel kwa kuwafyatulia risasi raia walipokuwa wakijaribu kupata chakula.

Israel imekanusha hili, na Jumapili ilisema mapitio ya awali yalihitimisha kwamba wanajeshi wa Israeli walipiga risasi "watu kadhaa" ambao waliwakaribia, lakini kwamba vifo vingi vilisababishwa na mkanyagano wa watu.

Maafisa wa Misri, ambao wamekuwa wakiongoza mazungumzo na Qatar, walisema wajumbe kutoka Hamas na Israel wanatarajiwa kuhudhuria mazungumzo hayo.

Hamas inaripotiwa kusema kwamba makubaliano kuhusu usitishaji vita yanaweza kufikiwa ndani ya saa 24 hadi 48 zijazo, huku chanzo kutoka kundi hilo kikiambia vyombo vya habari vya Misri makubaliano yanayotegemea Israel kukubaliana na matakwa yake.

Matarajio ya makubaliano hayo yalitolewa baada ya afisa mkuu wa Marekani kusema Israel kwa upande wake "imekubali kimsingi" mfumo wa kusitisha mapigano kwa wiki sita.

Jeshi la Israel lilianzisha kampeni kubwa ya anga na ardhini kuiangamiza Hamas baada ya watu wenye silaha kuwaua takribani watu 1,200 kusini mwa Israel tarehe 7 Oktoba na kuwarudisha 253 huko Gaza kama mateka.

Wizara ya afya ya Gaza inayoendeshwa na Hamas imesema takribani watu 30,410 wakiwemo watoto na wanawake 21,000 wameuawa huko Gaza tangu wakati huo huku wengine 7,000 wakitoweka na 71,700 kujeruhiwa.

Chanzo: Bbc
Related Articles: