Thu, 13 Jul 2023
Chanzo: Mwanaspoti
Taarifa zinathibitisha kuwa Papaa Mwinyi Zahera amepewa ofa ya kwenda kwa wakata miwa wa Manungu (Mtibwa Sugar).
Zahera alijiunga na Polisi Tanzania mwishoni ma msimu uliopita ambapo alishuka nayo Daraja.
Taarifa zinasema bado ipo orodha kubwa ya Makocha inafanyiwa kazi na wenye ubora zaidi yake.
Chanzo: Mwanaspoti
Related Articles: