Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga yawafuata Waarabu kibabe

YANGA MDS Yanga yawafuata Waarabu kibabe

Thu, 1 Jun 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kikosi cha Yanga kimeondoka katika Uwanja wa ndege wa kimataifa Julius Nyerere kuelekea Algeria kwa ajili ya mechi ya mkondo wa pili dhidi ya USM ALGER Jumamosi Juni 3, 2023.

Mechi ya kwanza ya fainalo ya Kombe la Shirikisho Afrika, Yanga ilipoteza kwa kufungwa bao 2-1 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.

Yanga imeondoka na Ndege ya Serikali waliyopewa na Rais Samia Saluhu ikiwa na kikosi cha wachezaji 29, benchi la ufundi na viongozi mbalimbali waandamizi wa klabu hiyo pamoja na mashabiki.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: