Thu, 14 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga SC, kimeianza safari ya kwenda Kigali Rwanda kumenyana na Al Merrikh SC ya Sudan kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Septemba 16, 2023.
Kikosi cha Yanga SC, kimeianza safari ya kwenda Kigali Rwanda kumenyana na Al Merrikh SC ya Sudan kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Septemba 16, 2023. Picha hizi ni wakati kikosi hicho kilipofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: