Thu, 14 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la kimataifa la kutunza Takwimu na Historia za mpira Duniani ‘IFFHS’ limetoa Orodha ya Timu 10 bora barani Afrika kwa mwaka mzima (kuanzia Septemba 1, 2022- Agosti 31, 2023).
Yanga imeshika nafasi ya 3 nyuma ya Al-Ahly na Wydad Casablanca.
Duniani Yanga ipo nafasi ya 63, juu ya Chelsea (72).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: