Fri, 11 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Menejà wa klabu ya Yanga Walter Harrison amesema walijiandaa tangu hawajaenda Tanga kwaajili ya Fainali ya Ngao ya Jamii na walijua watakutana na Azam na baada ya hapo watakutana na mshindi kati ya Singida na Simba.
Walter amesema wanaenda kuchukua ngao ya jamii mara tatu mfululizo mbele ya mtani wao Simba.
Yanga imefanikiwa kubeba Ngao ya Jamii mara mbili mfululizo ikiibuka na ushindi dhidi ya Simba SC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: