Sat, 15 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga ipo katika hatua nzuri kuipata saini ya Mshambuliaji wa klabu ya Asec Mimosas Sankara Karamoko (19).
Mazungumzo Binafsi baina ya Mchezaji na klabu ya Yanga yalishafika pazuri na kinachoendelea sasa ni mazungumzo na klabu yake ya ASEC Mimosas.
Endapo Yanga SC watafanikisha usajili huu wa Sankara, basi safu yao ya Ushambuliaji itakuwa:
Fiston Mayele
Sankara Karamoko
Clement mzize
Kennedy Musonda
Je Mwananchi unadhani kuna mpinzani atakaetoboa mbele ya Yanga?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: