Tue, 29 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu ya soka ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Agosti 29 kwa mchezo mmoja ambapo Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Yanga SC wachachuana na Mabingwa wa Championship 2022/23 JKT Tanzania katika dimba la Azam Complex Chamazi.
Yanga SC vs JKT Tanzania
Azam Complex, Chamazi
saa 1:00 jioni
Yanga na JKT Tanzania ni miongoni mwa timu chache ambazo hazijaruhusu goli kwenye NBCPL msimu huu wa 2023/24 sambamba na, Singida Fountain Gate FC, Mashujaa FC na Geita Gold FC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: