Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga kufunga usajili na huyu..!

Top Stiker Emmanuel Mahop

Fri, 21 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Tetesi zinasambaa zikiitaja Klabu ya Yanga SC wapo kwenye mazungumzo ya juu ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa FC Conan Younde, Emmanuel Mahop (28) kabla ya msimu ujao.

Miguel Gamondi anamfahamu vyema mchezaji huyo wa Kimataifa wa Cameroon na anatamani kufanya kazi naye kila mara.

Makubaliano ya mdomo yaliyofikiwa, ofa ya mkataba inayotarajia kuwasilishwa ilitarajiwa kufikiwa jana usiku na Mshambuliaji huyo anatazamiwa kuchukua nafasi ya Mayele.

Usajili wa Straika huyo ndio unaotazamiwa kuwa usajili wa mwisho kwa Yanga msimu dirisha hili.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: