Sun, 6 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mechi zote mbili Preliminary round ya klabu Bingwa Afrika baina ya Yanga SC dhidi ya ASAS ya Djibout zitachezwa katika dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam,
Ikitokea Yanga SC akafuzu 1st round CAF Champions league dhidi ya ASAS ambapo michezo yote itachezwa kwa Mkapa Tanzania,
1st round ikitokea Yanga Sc wakakutana na Al Merrikh kuna uwezekano mkubwa wa zaidi ya 80% Al Merrikh wakacheza mchezo wao wa Nyumbani nje ya Sudan kutokana na hali ilivyo sasa Nchini kwao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: