Fri, 23 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya soka ya @yangasc imeachana na mlinzi Abdallah Shaibu 'Ninja' baada ya mkataba wake kutamatika ndani ya klabu hiyo.
Klabu ya soka ya @yangasc imeachana na mlinzi Abdallah Shaibu 'Ninja' baada ya mkataba wake kutamatika ndani ya klabu hiyo. Taarifa ya Yanga imesema, "Tunamshukuru Abdallah Shaibu (Ninja) kwa mchango wake katika kipindi chote alichokuwa nasi na tunamtakia kila la kheri katika maisha yake mapya nje ya Young Africans SC."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: