Klabu ya Simba Sc imekuwa ikifanya maboresho kuanzia wachezaji na benchi la ufundi wapo ambao wameshapewa mkono wa kwaheri klabuni hapo katika kipindi hiki ambacho tunaelekea kwenye dirisha kubwa la usajili kufunguliwa na hawa ni wachezaji wazawa ambao bado wapo ndani ya klabu ya Simba Sc.
Hadi hivi sasa klabu ya Simba Sc nimebakisha wachezaji kumi na tatu
ambao ni wazawa.
Shomari Kapombe
Kenedy Juma
Mohamed Hussein
I Aishi Manula
Mzamiru Yasin
Israel Mwenda
Nassor Kapama
Habibu Kyombo
Ally Salim
Kibu Denis
Jimyson Mwanuke
Ahmed Feruzi
Je, unadhani mchezaji gani mzawa kwenye kikosi cha Simba Sc
hatokuwepo kwenye msimu ujao wa 2023/24?