Mon, 15 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inaelezwa kuwa Yanga imepanga kuwatema wachezaji wake kadhaa wazawa baada ya kushindwa kuonesha uwezo na kumshawishi Mwalimu.
Inaelezwa kuwa Yanga imepanga kuwatema wachezaji wake kadhaa wazawa baada ya kushindwa kuonesha uwezo na kumshawishi Mwalimu. Nyota wanaotajwa kutemwa mwishoni mwa msimu ni pamoja na Denis Nkane, Crispin Ngushi, David Bryson, Dickson Ambundo, Eric Johola.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: