Fri, 11 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jumapili Agosti 13 pale Mkwakwani Tanga itafahamika mshindi wa taji la Ngao ya Jamii 2023 kwenye mechi ya Yanga vs Simba saa 1:00 usiku.
Ili kushuhudia mechi hiyo Shirikisho la Soka Tanzania limepandisha kiingilio cha mzunguko kutoka Sh10,000 hadi Sh20,000 eneo ambalo linabeba mashabiki wengi huku VIP ikibaki Sh30,000.
Siku hiyo pia itapigwa mechi ya mshindi wa tatu Azam vs Singida Fountain Gate ikianza saa 9:00 alasiri.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: