Tue, 20 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarif zinasema kuwa Viongozi wa Yanga wanavutana juu ya hatma ya mtukutu Bernard Morrison kubaki klabuni ama aondoke.
Chanzo cha kuaminika kimesema kuwa tayari Rais Hersi amemwambia Morrison yupo tayari kumpa ofa ya kubaki, lakini kwanza itabidi akubali kushusha mshahara wake.
Morisson hajui hatma yake mpaka kufikia sasa ndani ya Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: