Sat, 24 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imeonyesha muonekano wa Uwanja wenye uwezo wa kubeba mashabiki 15,000 hadi 18,000, kwenye mkutano mkuu wa klabu hiyo, ambapo ujenzi wa uwanja huo unatarajiwa kujengwa katika makao makuu ya Yanga, Jangwani kwenye eneo la Kaunda
Tazama picha zaidi hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: