Kwa msimu huu 2023/24 klabu ya Yanga haijapoteza mchezo wowote katika Uwanja huo kwa Michezo ya CAFCL na hata NBC.
Yanga Sc wameshacheza Michezo 6 katika dimba hilo huku wakiwa wameshafunga Magoli 40.
Takwimu za Yanga Chamazi kwa Msimu huu
Michezo 6 (NBC 3, CAFCL 3)
Mashuti 40
Wametengeneza nafasi 58
Wakifunga magoli 18 + 2 ya Ya mbali (Jumla 20)
Clean Sheet 5
Yanga Sc wameruhusu kufungwa goli 1 dhidi ya Asas ya Djibout ambapo walifungwa kwa mkwaju wa penati baada ya Mchezaji wa Yanga zawadi Mauya kufanya makosa yaliyozaa Penati.
MCHEZO WA AZIZ KI
Ametengeneza nafasi 13
Amefunga magoli 3
Ame Assist magoli 3