Fri, 23 Jun 2023
Chanzo: Tanzaniweb
Yanga wameng’oa Bernard Morrison ili kushusha chuma kutoka Union Maniema winga Maxi Mpia Nzengeli (23) ambae ni mtu wa kazi lakini pia mkwanja wake wataumudu.
Yanga wameng’oa Bernard Morrison ili kushusha chuma kutoka Union Maniema winga Maxi Mpia Nzengeli (23) ambae ni mtu wa kazi lakini pia mkwanja wake wataumudu. Maxi ambaye ni nahodha wa Maniema anasifika kasi huku akiwa kwenye kikosi cha DR Congo kilochoshiriki CHAN.
Chanzo: Tanzaniweb
Related Articles: