Mon, 31 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Julai 29 Saa tatu usiku Klabu ya Yanga ilimtangaza Mshambuliaji Hafiz Konkoni raia wa Ghana kutoka Klabu ya Bechem United kujiunga na timu hiyo akichukua nafasi ya Fiton Mayele alietimkia Pyramids FC ya nchini Misri.
Sasa mara moja Straika huyo ametinga katika kambi ya maandalizi ya Yanga iliyopo Avic Town, Kigamboni Jijini Dar es Salaam na kujiunga na wenzake kama anavyoonekana pichani.
Je unamtabiria nini Straika mpya wa Yanga?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: