Wed, 2 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba kimerejea nchini Alfajiri ya leo baada ya kambi ya wiki tatu Jijini Ankara nchini Uturuki kujiandaa na msimu mpya na Jumapili kitakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa Zambia, Power Dynamo katika Simba Day Uwanja wa Benjamín Mkapa Jijini Dar es Salaam
Simba waliweka Kambi ya wiki tatu nchini Uturuki. Tazama hapa chini msafara wa kikosi cha Simba ukiwasili Jijini Da es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: