Sun, 6 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Simba imefanikiwa kumsajili Golikipa wa Kmc Hussein Abel kwuziba nafasi iliyoachwa wazi na Jefferson Luiz aliyebainika kuwa na Majaeraha.
Hussen Abel amesaini mkataba wa Miaka 2 wa kukipiga Simba
Tazama Video hapa chini akitambulishwa katika kikosi cha Simba SC kuelekea msimu ujao.
HUSSEIN ABEL KIPA MPYA SIMBA SC
— Azam TV (@azamtvtz) August 6, 2023
Tazama utambulisho wa Kipa mpya wa Simba SC, Hussein Abel ambaye amejiunga na miamba hao wa Kariakoo akitokea KMC FC ya Dar es Salaam.
Tuko #LIVE #AzamSports1HD#SimbaDay #TamashaLaSimbaDay #SimbaSC #UnyamaMwingi #Unyama #SikukuuYaSimba… pic.twitter.com/IlVUJwiRrt
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: