Mon, 24 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji wa michezo kutoka Wasafi FM, Mwanaidi Suleiman anasema kitendo cha kuzuka kwa taarifa za utata juu ya usajili wa Clatous Chama anaona kuwa hata Simba nao hawana nia na mchezaji huyo.
Akizungumza Mwanaid kupitia Sports Arena anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: