Thu, 31 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC kinatarajia kuweka kambi nchini Kenya ya kujiandaa na mchezo wao wa Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ya Zambia,
Simba SC watakapokuwa nchini Kenya wanatarajiwa Kucheza michezo Mitatu ya kirafiki dhidi ya
FC Gor Mahia
Polisi ya Kenya
Kakamega Home boyz/Bandari Fc
Mchezo wa Simba SC dhidi ya Power Dynamos utachezwa Simu ya Jumamosi ya Sept 16 pale Ndola, Zambia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: