Sat, 22 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hii ndio maana halisi ya michezo ni urafiki na sio uadui. Shabiki mmoja alietinga uzi wa Simba ameonekana akipiga picha na mashabiki wa Yanga katika kilele cha Tamasha la Yanga Uwanja wa Mkapa.
Bila shaka Shabiki huyo amefata burudani katika siku ambayo Yanga wanakipiga na Kaizer Chiefs mchezo wa Kirafiki.
Unadhani shabiki huyu yuko timu gani leo kati ya Yanga na Kaizer Chiefs? Bashiri
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: