Sun, 6 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC wanashuka dimbani muda mchache kutoka sasa kuvaana na Power Dynamos kutoka nchini Zambia katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki.
Mchezo huo ni katika kuadhimisha kilele cha Tamasha "la Simba Day" linalofanyika leo Agosti 6 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Simba huitumia Siku hii kutambulisha nyota wake watakaotumika katika msimu ujao 2023/24.
Hiki ndicho kikosi cha Simba SC kinachoanza mchezo wa leo dhidi ya Power Dynamos;
Salim
Kapombe
Zimbwe Jr
Che Malone
Inonga
Kanoute
Mzamiru
Onana
Chama
Kibu
Saido
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: