Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rasmi: Yanga wamalizana na Djuma Shaban

Djuma Shaban TP Mazembe.jpeg Djuma Shaban

Sun, 20 Aug 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Uongozi wa Yanga umempa barua ya kumuacha huru aliekuwa mlinzi wake wa kulia Raia wa Jamhuri ya Congo Djuma Shaban.

Beki huyo ambaye alikuwa tegemezi Jangwani, sasa yupo huru kujiunga na Timu yoyote hata Simba wakimtaka.

Djuma bado ana Mkataba na Yanga lakini hakuwa kwenye mipango ya timu na Yanga walitaka kumtoa kwa mkopo lakini yeye aligoma akitaka kuvunjiwa Mkataba.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: