Sun, 24 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Yanga Crispin Ngushi ametupia mabao matatu (Hat-trick) katika mchezo wa kirafiki uliopigwa katika kambi ya timu hiyo Avic Town.
Huu ulikuwa ni Mchezo kwa Wachezaji wa Yanga SC ambao hawakupata nafasi ya kucheza kwenye mechi dhidi ya Namungo walicheza mchezo wa kirafiki.
FT' Yanga Sc 3 - 0 Yanga Youth (B)
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: