Baada ya Jana Agosti 9 kushuhudia mechi ya kibabe hatua ya mtoano kuwania Fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga dhidi ya Azam FC.
Leo Agosti 10 kazi inahamia kwa wababe wawili Simba vs Singida Fountain Gate katika Uwanja wa Mkwakwani.
Simba na Singida watapambana kutafuta nafasi ya kucheza Fainali na Yanga ambao jana walipata ushindi dhidi ya Azam FC.
Hivi hapa vikosi vya Simba vs Azam vinavyoanza mchezo wa leo;
Kwa upande wa Singida wao wataanza hivi
Beno Kakolanya
Kelvin Kijiri
Gadiel Michael
Biemes Carno
Abdulmajid Mangalo
Yusuf Kagoma
Morice Chukwu
Duke Abuya
Dickson Ambundo
Francy Kazadi Kasengu
Marouf Tchakei