Tue, 7 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwili wa mtoto wa kiungo wa Yanga, Salum Abubakar 'Sure Boy' aitwaye Feisal Salum Abubakar 'Sure Boy Jr' umezikwa leo Jumatano, Machi 7, 2023, Magomeni jijini Dar es Salaam.
Viongozi wa Young Africans SC wakiongozwa na Rais Hersi Ally Said leo mchana walishiriki kwenye mazishi ya kumuaga mtoto wa Sure Boy.
Sure Boy Jr amefariki dunia leo asubuhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: