Wed, 8 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa Yanga, Bernard Morrison ambaye atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kupata jeraha la nyonga, ameanza mazoezi ya peke yake kujiweka sawa baada ya kubaki Dar.
Winga wa Yanga, Bernard Morrison ambaye atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kupata jeraha la nyonga, ameanza mazoezi ya peke yake kujiweka sawa baada ya kubaki Dar. Yanga imeenda Tunisia kwa ajili ya mechi ya kwanza Kombe ka Shirikisho Afrika katika hatua ya makundi dhidi ya US Montasir itakayochezwa Jumapili Februari 12 mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: