Thu, 10 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoa taarifa kuhusiana na baadhi ya ‘timu’ kutowasilisha vibali vya wachezaji wa kigeni kutocheza mchezo wa Ngao ya Jamii.
Rais wa heshima wa ‘klabu’ ya Simba Mohammed Dewji amevunja ukimya kupitia mitandao yake ya kijamii amefunguka na kuandika,
“Nimetoa almost 3 billion kufanikisha huu usajili, isitokee kwamba mtu aseme ‘Mo hajatoa hela’ tuepuke na wapotishaji.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: