Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Miquissone avunja Mkataba na Al Ahly, kituo kinachofuata?

Jose Luis Miquissoneeee Jose Luis Miquissone

Tue, 18 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka Misri, Club ya Al Ahly ya Misri imevunja Mkataba na Mchezaji wa Kimataifa wa Msumbiji Luis Jose Miquissone kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Miquissone alijiunga na Al Ahly ya Misri akitokea Simba SC ya Tanzania 2021 ila amekosa nafasi ya kucheza toka aondoke Kocha Pitso Mosimane na sasa amevunja mkataba ili aende sehemu atakayopata nafasi ya kucheza.

Asilimia 90 Luis Jose Miquissone anarudi Simba SC inaeleza ameshakubaliana maslahi binafsi na Uongozi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: