Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mayele kukabidhi Jezi Namba 9 kesho kwa Mkapa

Mayele Caf.jpeg Fiston Mayele

Fri, 21 Jul 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Fiston Kalala Mayele kuagwa siku ya kesho Julai 22 kwenye kilele cha Siku ya Wananchi Jiji Dar es Salaam (Kwa Mkapa),

Fiston Kalala Mayele ameshauzwa na klabu ya Yanga na sasa ni Mchezaji halali wa klab ya Pyramids Kwa dau linalokadiriwa kufikia Bilioni 2.8

Fiston Pia siku ya Kesho atamkabidhi Mrithi wake ndani ya Yanga Jezi namba 9 aliyokuwa akiitumia klabuni hapo.

Mwananchi utamkumbuka Mayele kwa tukio gani? Tupe majibu yako

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: