Fri, 21 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Fiston Kalala Mayele kuagwa siku ya kesho Julai 22 kwenye kilele cha Siku ya Wananchi Jiji Dar es Salaam (Kwa Mkapa),
Fiston Kalala Mayele ameshauzwa na klabu ya Yanga na sasa ni Mchezaji halali wa klab ya Pyramids Kwa dau linalokadiriwa kufikia Bilioni 2.8
Fiston Pia siku ya Kesho atamkabidhi Mrithi wake ndani ya Yanga Jezi namba 9 aliyokuwa akiitumia klabuni hapo.
Mwananchi utamkumbuka Mayele kwa tukio gani? Tupe majibu yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: