Thu, 10 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliekuwa mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele ambae kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Pyramids FC ya nchini Misri amewapiga kijembe Azam baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Yanga jana Agosti 9 Uwanja wa Mkwakwani.
Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Mayele ameposti Picha akiwa GYym anafanya mazoezi na kuandika;
"hakuna kupowa sio Kama wale ukwaju"
Katika mchezo huo Azam walikubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Yanga yakifungwa na Aziz KI na Clement Mzize.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: